This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Tuesday, 1 October 2013

MAAJABU MTOTO WA MIAKA MIWILI ASHIKA MIMBA

Mtoto wa miaka miwili wa Huaxi nchini China, amefanyiwa upasuaji wa kujifungua baada ya madaktari kugundua kuwa alikuwa na mimba.Xiao Feng, alipelekwa hospitali baada ya tumbo lake kuwa kubwa kiasi ambacho alijikuta akishindwa kupumua. Alipolazwa, madaktari walichukua picha za x-rays na MRI ba kugundua kuwa Feng alikuwa amebaba mimba isiyokua na hivyo kuamua kumfanyia upasuaji. Waliiondoa mimba hiyo changa iliyokuwa na upana wa cm 20 na tayari...